Pages

NASH MC.

Monday, September 9, 2013

MHADHARA WA HIPHOP....MHADHARA WA HIP HOP....MHADHARA WA HIPHOP

Kwa wale wakazi wa Bandari ya Salama zamani kuitwa MZIZIMA Ni fursa yenu na hii si ya kukosa,lakini mtajiuliza ni nini hiki? Utamaduni huu umekuja kupeana elimu/maarifa (knowledge) hivyo hatuna budi peana chakula hiki cha akili,Sasa soma hapa chini upate maelekezo. TAREHE: 13/09/2013 MUDA: 11:00 - 1:00 JIONI WAPI: ALLIANCE FRANCAISE KIINGILIO: BURE KABISA Wadau,wakereketwa wa utamaduni huu wote mnakaribishwa siku hiyo njoo ujifunze mengi kupitia ''MHADHARA HURU'' utakaotolewa na NASH EMCEE (Maalim),bila ajizi siku hiyo atatukumbusha na kutuelezea ni nini *Machata,*Wachenguaji*Wadundishaji,*Mavunjaji*Maarifa kwa wenye vipaji,
Mwambie yule na wale pia...

2 comments: