Pages

NASH MC.

Monday, September 9, 2013

JIFUNZE MENGI KUHUSU HIPHOP ---- kupitia blogu hii nashemcee.blogspot.com

HIPHOP umekuwa ni utamaduni au nyenzo adhimu kabisa ambao unawaunganisha watu wa aina mbalimbali hapa duniani hasa kwa wale wanaoishi katika misingi yake,kwani mbali na kuburudisha hadhira yake,umekuwa ni utamaduni wa kuyaangazia mambombali katika jamii zetu kwa jicho ang'avu lisilo na shaka na kujaribu kutoa suluhu au kuchokoa mambo mbalimbali na kuwaacha watu wakiwa katika tafakuri la kipi wakifanye baada ya kuupata ukweli kupitia HIPHOP,thibitisha hili kwa kurejelea kibao cha ''NASH MC'' Kaka Suma na vingine vingi adhimu. Kila kitu kizuri huwa na changamoto nyingi mfano.ni hili watu wanaojiita WANAHIPHOP kutojifunza zaidi na kufata misingi ya utamaduni huu,hivyo ni wajibu wetu kujifunza ukweli na undani wake,AKHSANTE.

No comments:

Post a Comment