Pages

Saturday, September 6, 2014

# NashMC TEMEKESHOW Inakaribia......

.... Oi oi oi, wahenga husema saa hutengeneza siku, mwezi, hata mwaka. Kwa hisani ya HIPHOP, Nash Mc rakabu ZUZU, MCHOCHEZI, CHIZI, MAALIM na majina kibao katika uchenguaji wake, anawaletea tumbuizo wakazi wa Temeke na Dar es Salaam kwa ujumla.

Baada ya kikosi kizima cha maandalizi ya Show hiyo kujipanga vyema, kinawakumbusha mashabiki wa kweli kukaa mkao wa kufurahi siku ya tumbuizo hilo mara tu tarehe na siku vikitajwa, wewe na yule hamtakiwi kukosa siku hiyo.



                                             # NashMcTemekeShow  inakaribia.....

No comments:

Post a Comment