Pages

NASH MC.

Wednesday, February 19, 2014

P THE MC NA " BORN TO RHYME NOT TO SHINE "..

(Knowledge), ni mhimili mkuu katika utamaduni wa " HIPHOP " ambao huwaongoza wasanii wafanyao/ waishio katika Utamaduni huu kuwa wabunifu katika kazi za mikono yao, naam!, nguzo hiyo pia imetumiwa vyema na MC huyu toka Kiwalani Bom Bronx au TAMADUNIMUZIK, naam huyu si mwingine bali ni P THE MC ambaye leo katokea bloguni humu, karibu mpenzi wa HipHop tujumuike. " P the Mc "
" toka TAMADUNIMUZIK,ameingiza sokoni mzigo wa "Fulana" (T-shirts) halisi kabisa, kila rangi na kila ukubwa (size), kwa bei ya fedha halali ya Kitanzania sh. 15000./= tu, hivyo mdau wa sanaa ni wakati wako sasa kuunga mkono harakati hizi, pendeza katika "fulana" za kijanja kabisa zenye nembo (LOGO) isomekayo "BORN TO RHYME NOT TO SHINE" au "MWINGI WA HABARI". Ili kupata mzigo wako, fika Kilingeni Msasani Club ni Kila Jumamosi, au piga simu nambari hii: +255 717 254 451.

No comments:

Post a Comment